Ninang'atuka 2014

by Dardanus Mfalme


Formats

E-Book
$3.99
Softcover
$10.00
Hardcover
$20.00
E-Book
$3.99

Book Details

Language : English
Publication Date : 12/26/2013

Format : E-Book
Dimensions : 6x9
Page Count : 89
ISBN : 9781483689647
Format : Softcover
Dimensions : 6x9
Page Count : 89
ISBN : 9781483689623
Format : Hardcover
Dimensions : 6x9
Page Count : 89
ISBN : 9781483689630

About the Book

Ni kitabu chanye hazina ya mashairi yaliyotungwa na mtunzi aliyebobea katika fani ya utunzi wa nyimbo, tenzi na mashairi. Mtunzi wa kitabu ametunga tungo za kitabu hiki akifuata na kulinda maadili ya lugha ya Kiswahili kwa malengo ya kuelimisha, kuburudisha na kufundisha jamii zote. Usomapo kitabu hiki utapata uhondo kamili wa lugha ya Kiswahili kwani mtunzi wa kitabu ametumia maneno ya Kiswahili sanifu, Kiswahili cha mitaani na maneno aliyoyatohoa kutoka lugha mbali mbali ambayo hutumiwa kwa wingi mitaani. Katika kurasa za mwisho za kitabu hiki, mtunzi ameweka kamusi ya Kiswahili cha mitaani ili wale wasioelewa Kiswahili cha mitaani waweze kupata burudani kamili wanaposoma ama wanapoimba mashairi yake.


About the Author